mapenzi ya mama
Jumatano, 8 Juni 2016
Jumanne, 31 Mei 2016
faida za tende kwa wajawazito
Kila mama anahitaji kuwa na mtoto mzuri na mwenye maadili na malez mazuri..
Hivyo basi inashauriwa kwa mama kuanza malez mazur kwa mtoto wake tangia akiwa tumboni mwake.Anaweza kulifanikisha hilo kwa kuzingatia yale anayoshauriwa na dakatar kipindi cha ujauzito.Kuwa mbishi na kutofuata yale anayoshauriwa itamsababishia yeye mzaz kupoteza ndoto ya kuwa na mtoto bora.
TENDE:
Tende ni tunda ambalo linavunwa kutoka kwenye miti ijukikanayo kama "mitende"
Tende ina faida nyingi sana kwa maisha ya binaadamu ya kila siku.
Hata hivyo kwa mama wajawazito tende ni nzuri sana kutumia haswa kipindi cha wiki 4 za mwisho wa ujauzito.
Hivyo basi inashauriwa kwa mama kuanza malez mazur kwa mtoto wake tangia akiwa tumboni mwake.Anaweza kulifanikisha hilo kwa kuzingatia yale anayoshauriwa na dakatar kipindi cha ujauzito.Kuwa mbishi na kutofuata yale anayoshauriwa itamsababishia yeye mzaz kupoteza ndoto ya kuwa na mtoto bora.
TENDE:
Tende ni tunda ambalo linavunwa kutoka kwenye miti ijukikanayo kama "mitende"
Tende ina faida nyingi sana kwa maisha ya binaadamu ya kila siku.
Hata hivyo kwa mama wajawazito tende ni nzuri sana kutumia haswa kipindi cha wiki 4 za mwisho wa ujauzito.
Inashaurika kula tende sita kila siku katika wiki nne (4) za mwisho wa ujauzito ili kusaidia
Kupunguza inductione na augmentation huko labor,na inasaidia kujifungua salama.
Jumatano, 11 Mei 2016
malezi
Mbali na mjukumu au uwajibu wa mama kama mzazi kwa mtoto na kwa familia kama vile kupika,kusafisha nyumba,kulea watoto na mengineyo.pia mama ni mzaz ambaye anabeba mimba miez 9 na kujifungua mtoto na kumlea kw kumnyonyesha miaka 2.
Inanedele...
Inanedele...
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)




